Simba uso kwa uso na Al Ahly

Simba wamepangwa Kundi moja na Al Ahly , Al Merreik na AS Vita

Hatimaye wawakilishi wa Tanzania kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika Simba SC wamepangwa kundi A sambamba na mabingwa wa watetezi Al Ahly, Namungo nayo imepangwa kucheza na Primeiro De Agosto kwenye kombe la shirikisho hatua ya mtoano, kwenye droo iliyofanyiaka hii leo Cairo Misri.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS