Simba uso kwa uso na Al Ahly
Hatimaye wawakilishi wa Tanzania kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika Simba SC wamepangwa kundi A sambamba na mabingwa wa watetezi Al Ahly, Namungo nayo imepangwa kucheza na Primeiro De Agosto kwenye kombe la shirikisho hatua ya mtoano, kwenye droo iliyofanyiaka hii leo Cairo Misri.