Mwambieni Rais wa China atusamehe- Rais Magufuli

Waziri wa Mambo ya Nje ya China, Wang Yi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameshuhudia Utiliaji Wa Saini Wa Mkataba Wa Ujenzi Wa Reli Ya Kisasa SGR Kutoka Mwanza Kuelekea Isaka,huku akiomba China kusamehe madeni yanayoidai Tanzania likiwemo deni walilolibeba wakati wa ujenzi wa reli ya TAZARA

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS