2020 Halima Mdee alivyoshangaza

Halima Mdee, mbunge wa Viti Maalum, na aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Kawe.

Wabunge wateule wa viti maalum kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wakiongozwa na Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA Halima Mdee, Novemba 24, 2020, walikula kiapo cha nafasi hiyo katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS