2020 Halima Mdee alivyoshangaza
Wabunge wateule wa viti maalum kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wakiongozwa na Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA Halima Mdee, Novemba 24, 2020, walikula kiapo cha nafasi hiyo katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma.