Mouricio Pochetino (kushoto) na Kylian Mbappe (kulia) wote kwa pamoja ni watumishi wa klabu ya PSG ya Ufaransa.
Kocha wa Klabu ya PSG, Mouricio Pochetino ameweka wazi kwamba anaimani kubwa kuwa mshambuliaji wake Kylian Mbappe ataendelea kusalia klabuni hapo licha ya tetesi za kuhiatajiwa na matajiri wa Real Madrid ya Hispania.