Manchester United na rekodi mbaya Old Trafford 

Baadhi ya wachezaji wa Manchester United wakionekana kuhuzunika baada ya kufungwa bao la pili dhidi ya Sheffield United usiku wa kuamkia jana.

Mabingwa wa kihistoria wa ligi kuu nchini England, klabu ya Manchester United imeshindwa kukwea kileleni kwenye msimamo wa ligi kuu nchini humo baada ya kipigo cha mabao 2-1 usiku wa kuamkia leo tarehe 28 Januari 2021 kutoka kwa klabu ya Sheffield United inayoshika mkia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS