Kilichowaponza Singida United chawekwa wazi

Michezo yote ya Singida United waliokuwa wamecheza imefutwa na wameshushwa madaraja mawili

Kocha wa Singida United Edwin Agayi amesema hali mbaya ya kiuchumi ndio sababu iliyopelekea timu hiyo kushushwa daraja, timu hiyo imeshushwa madaraja mawili baada ya kushindwa kufika uwanjani, kwenye mchezo wa ligi daraja la kwanza dhidi ya Alliance.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS