Wadau wa Mazingira wataja athari za taka ufukweni

Baadhi ya wadau kutoka Taasisi mbalimbali waliojitokeza kufanya usafi katika fukwe za mbezi B

Wadau Mbalimbali kwa kushirikiana na Mwenyekiti wa mtaa wa  Mbezi beach B Asha Voniatis, wamejitokeza kufanya usafi pembezoni mwa fukwe lengo ikiwa ni kuhamasisha utunzaji wa mazingira na kulinda viumbe vilivyopo katika fukwe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS