Kauli ya kocha Ndairagije juu ya mrithi wa Samatta

Etienne Ndairagije(Kulia) akiwa na msaidizi wake Seleman Matola(Kushoto) wakiwa wanateta jambo mazoezini.

Kocha wa timu ya Tanzania, Taifa Stars, Ettiene Ndairagije ametanabaisha kwamba kambi ya nchini Uturuki ilikuwa ya mafanikio na matayarisho kwa ujumla kuelekea mchezo wao wa Novemba 13 dhidi ya Tunisia yamekamilika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS