"Bunge hili litahukumiwa"-Spika Ndugai

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai.

Spika wa Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai, amesema kuwa atahakikisha taarifa zote sahihi za Bunge hilo zinawafikia wananchi ili isije ikaonekana Bunge hilo halifanyi kazi na halisikiki kwa sababu wabunge wengi waliomo ni wa Chama cha Mapinduzi (CCM).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS