Yanga ndio timu pekee ambayo haijapoteza mchezo kwenye michezo ya ligi kuu soka Tanzania bara mismu huu wa 2020-21
Klabu ya Yanga, inatarajia kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya African Lyon ya ligi daraja la kwanza siku ya jumapili, mchezo huo utachezwa uwanja wa Azam Complex saa 1:00 usiku.