"Mh. Rais Magufuli unanipa mshtuko"- Prof. Kabudi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi, amesema kuwa hii ni mara ya nne anapewa mshtuko na Rais Magufuli kwani amekuwa akimpa nafasi za kuongoza bila yeye kutarajia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS