EWURA yaingia makubaliano na LATRA

Kushoto ni Mkurugenzi mkuu wa LATRA, Gilliard Ngewe na kulia ni watumishi kutoka EWURA

Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati (EWURA) imesaini mkataba wa makubaliano na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) wenye lengo la kufanya kazi pamoja ili kusaidia kupunguza changamoto mbalimbali ikiwemo udhibiti wa mafuta na usafirishaji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS