Dkt.Mwinyi ameapishwa kuwa Rais wa Zanzibar

Pichani ni Rais Dkt Hussein Ali Mwinyi (kulia) akila kiapo mbele ya Jaji Mkuu wa Zanzibar, Omar Othman Makungu (Kushoto).

Dkt Hussein Mwinyi ameapishwa hii leo na Jaji Mkuu wa Zanzibar Omar Othman Makungu katika uwanja wa Amani huko Zanzibar,katika hafla iliyohudhuriwa na marais wastaafu,viongozi wa kitaifa na kimataifa pamoja na wananchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS