Aliyekuwa Kocha msaidizi wa Simba, Denis Kitambi enzi zake akiwa anafundisha kikosi cha mabingwa watetezi wa VPL.
Klabu ya Simba imetajwa kuwa bado ni bora kuliko timu zote katika ligi kuu ya Tanzania bara msimu huu licha ya kuwa na matokeo yasiyo na muendelezo wa matokeo ya ushindi.