Marekani kukamilisha Kampeni leo

Kushoto Mgombea urais wa Marekani kupitia Chama cha Republic Donald Trump na Kulia ni mgombea wa urais wa Chama cha Democratic Joe Biden

Wagombea urais wa Marekani, Donald Trump na mshindani wake Joe Biden, wanamalizia kampeni zao kwenye majimbo muhimu nchini humo ambapo inaonyesha jinsi gani Marekani ilivyogawanyika kwa kiwango kikubwa katika kuyashughulikia matatizo makubwa ya nchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS