Ni yeye Mheshimiwa Hamisi Mwinjuma "Mwana Fa"
Msanii Hamis Mwinjuma maarufu kama Mwana Fa amefanikiwa kushinda nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Muheza,Tanga kupitia Chama Cha Mapinduzi 'CCM' akimshinda mpinzani wake Yosepher Komba wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo 'CHADEMA'.