Ni yeye Mheshimiwa Hamisi Mwinjuma "Mwana Fa"

Msanii na Mbunge wa Jimbo la Muheza Mwana Fa

Msanii Hamis Mwinjuma maarufu kama Mwana Fa amefanikiwa kushinda nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Muheza,Tanga kupitia Chama Cha Mapinduzi 'CCM' akimshinda mpinzani wake Yosepher Komba wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo 'CHADEMA'.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS