Rais Mteule wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dkt Hussein Mwinyi.
Dr. Hussein Alli Mwinyi, sasa ndiye Rais mteule wa Serikali ya Mapinduzi
ya Zanzibar, baada ya kuwa ametangazwa na Tume ya Uchaguzi
Zanzibar kuwa amepata kura 380,402 sawa na asilimia 76.27.