Mollel, Waitara, Silinde waneemeka CCM
Katika uchaguzi huu Chama Cha Mapinduzi (CCM) miongoni mwa wagombea wake wa ubunge nchi nzima pia walikuwemo wagombea watatu wa ubunge ambao walitokea Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika miaka ya mwanzoni na wengine dakika za lala salama bunge likiwa linaelekea kuvunjwa,