Mollel, Waitara, Silinde waneemeka CCM

Pichani ni Wabunge wateule kwa tiketi ya CCM, Kushoto ni Godwin Mollel (Siha), Mwita Waitara (Tarime Vijijini), Kulia ni David Silinde (Tunduma)

Katika uchaguzi huu Chama Cha Mapinduzi (CCM) miongoni mwa wagombea wake wa ubunge nchi nzima pia walikuwemo wagombea watatu  wa ubunge ambao walitokea Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika miaka ya mwanzoni na wengine dakika za lala salama bunge likiwa linaelekea kuvunjwa,

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS