Faiza Ally amtuliza Sugu baada ya kukosa Ubunge
Mfanyabiashara Faiza Ally amempa moyo na kumuunga mkono aliyekuwa mpenzi wake wa zamani na baba mtoto wake Joseph Mbilinyi 'Mr II Sugu' baada ya kushindwa nafasi ya Ubunge kwenye Jimbo la Mbeya Mjini ambapo limekwenda kwa Dkt Tulia Ackson wa Chama Cha Mapinduzi.