Kwanini Coastal Union inayumba?

Kocha wa Coastal Union ya Tanga, Juma Mgunda (Pichani) akiingia kwenye uwanja wa mazoezi.

Kocha wa Klabu ya Coastal Union ya Tanga, Juma Mgunda amesema kuondokewa na baadhi ya wachezaji muhimu ndio sababu kuu ya wao kuanza kwa kusuwasuwa msimu huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS