DC Kinondoni ajibu madai ya wafanyakazi waliogoma

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Daniel Chongolo.

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Daniel Chongolo, amewashauri wafanyakazi wa Kampuni ya CRJE wanaofanyakazi katika Hospitali ya CCBRT, kuhakikisha wanawasilisha malalamiko yao, Idara ya Kazi na Ajira ili malalamiko hayo yaweze kupatiwa ufumbuzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS