Waliokosa nafasi za masomo wakumbukwa Arusha

Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo.

Kutokana na changamoto iliyojitokeza mwaka jana ya maelfu ya wanafunzi waliohitimu darasa la saba na kuchaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza kukosa nafasi, kutokana na upungufu wa vyumba vya madarasa katika Shule mbalimbali mkoa wa Arusha umeanza kuchukua tahadhari.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS