Msanii Bongo movie afariki dunia Muigizaji wa filamu Bongo ambaye pia ni diwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo kupitia ACT Wazalendo, Tumaini Bigilimana maarufu kama Aunt Fifi, amefariki dunia hii leo. Read more about Msanii Bongo movie afariki dunia