Waziri atakiwa kuachia ngazi
Mbunge wa Moshi Vijijini Anthony Komu amependekeza Wabunge kufikia maamuzi ya kumtaka Waziri wa Mambo ya Nje Prof Palamagamba Kabudi kuwajibika, kwa kile alichokidai kuna baadhi ya mambo ambayo amekuwa akiyashauri hayaendi sawa.