Tukikukuta pasipoeleweka tunakukamata- Majaliwa
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema serikali imedhamiria kuwalinda watoto wa kike na ndiyo maana wanawataka watoe taarifa za watu wanaotaka kuwakwamisha kimasomo kwa watendaji wa vijiji kwenye maeneo yao.

