Wabunge kupiga kura kumng'oa Jaji Mkuu Jaji Mkuu wa Kenya david Maraga Kura za kumuondoa madarakani Jaji Mkuu wa nchi ya Kenya David Maraga zinatarajiwa kupigwa na wabunge wa nchi hiyo, baada ya kupelekwa barua ya kuwataka kufanya hivyo na mwanasheria. Read more about Wabunge kupiga kura kumng'oa Jaji Mkuu