CHADEMA kuweka pingamizi
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimedai kinakusudia kukata rufaa ya kupinga hukumu iliyotolewa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Kanda ya Mbeya dhidi ya washtakiwa Joseph Mbilinyi na Emmanuel Masonga iliyotolewa leo (Jumatatu)

