ACT-Wazalendo 'yakunwa' na Baraza

Chama cha ACT-Wazalendo kimewapongeza Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) kwa kuweza kuonyesha uthubutu wao wa kujitokeza mbele na kuongea ukweli kuhusiana na kuminywa kwa Demokrasia nchini bila ya wasi wasi wowote.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS