Yanga yathibitisha safari yake

Mabingwa wa soka Tanzania Bara Yanga SC imethibitisha kuwa tayari mipango kwaajili ya safari yake kuelekea Shelisheli kwenye mechi ya marudiano dhidi ya St. Louis yamekamilika na timu hiyo inatarajiwa kuondoka nchini Jumapili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS