Anna Mghwira awamwagia sifa wachaga

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mama Anna Mghwira amewamwagia sifa wakazi wa mkoa wa Kilimanjaro ambao walikwenda kula sikukuu za mwisho wa mwaka mkoani humo, kwa kufanya matumizi makubwa na kuongeza pato kwenye uchumi wa mkoa huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS