BASATA yashindwa kumhukumu Gigy Money
Katibu Mkuu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa, Godfrey Ngereza amesema kwamba hawajampatia adhabu yoyote msanii Gigy Money kwa sababu siyo wao waliomwita na badala yake akaonane na Naibu Waziri wa sanaa habari na Utamaduni Mh. Juliana Shonza.