"Wanapenda kuona mauno"- Snura

Mwanamuziki Snura Mushi ' SnuSexy' yeye amekiri kwamba tayari alikwisha jipanga kukabiliana na mabadiliko ya serikali haswa katika kuzingatia sheria za mavazi pamoja na maneno kwenye nyimbo zake baada ya kuletewa shida kwenye wimbo wake wa Majanga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS