Tukio la Lissu lamuudhi Mwigulu
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk. Mwigulu Nchemba amefunguka na kusema kwamba katika matukio yaliyomuudhi sana mwaka 2017 ni pamoja na kushambuliwa kwa Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu pamoja na mauaji ya wananchi na Askari huko Kibiti.