Mnyeti awaadabisha watendaji wafanya siasa
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Alexander Mnyeti, ametengua nafasi za watumishi 44 wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu baada ya kujiridhisha na tuhuma za kujihusisha na masuala ya siasa badala ya kutekeleza majukumu ya kiutumishi.

