Anayesadikiwa kuwa Jambazi auwawa na Polisi
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga ACP, Simon Haule amethibitisha kuwa Jeshi la Polisi Mkoani kwake limemuua Joseph Dogani mwenye umri wa miaka hamsini mkazi wa kata ya Ndala Mjini Shinyanga anayedaiwa kuwa ni jambazi.