"Niliyoyafanya haya siyo mimi" - Magufuli
Rais Dkt. John Pombe Magufuli amesema kitendo kilichofanyika cha kutoa msamaha kwa wafungwa 8,158, ikiwemo familia ya Nguza Viking siyo yeye aliyofanya bali ni Mungu ndiye aliyefanya na ndiyo anapaswa kupewa shukrani.