"Niliyoyafanya haya siyo mimi" - Magufuli

Rais Dkt. John Pombe Magufuli amesema kitendo kilichofanyika cha kutoa msamaha kwa wafungwa 8,158, ikiwemo familia ya Nguza Viking siyo yeye aliyofanya bali ni Mungu ndiye aliyefanya na ndiyo anapaswa kupewa shukrani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS