Mke wa Kafulila anena mazito juu ya Lissu
Mke wa Mwanasiasa maarufu nchi na Mbunge wa Singida Viti Maalum (CHADEMA), Jesca Kishoa leo amtembelea Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu na kusema kwamba wasiojulikana wamemfanya kiongozi huyo kuwa jasiri zaidi.