Azam FC yazichimba mkwara Simba na Yanga
Baada ya kutofanya vizuri kwenye mechi mbili zilizopita, Kocha Msaidizi wa Azam FC, Idd Cheche, ameweka wazi kuwa huo si mwisho wa timu hiyo kwenye vita ya kuwania ubingwa wa Ligi Kuu kwani hata vinara Simba na Yanga wanaweza kufungwa.

