Vanessa amuanika Johmakin hadharani
Mwanamuziki Vanessa Mdee anayefanya vizuri ndani na nje ya nchi amesema kwamba alitamani kukata tamaa mwezi wa tatu alipokuwa kituo cha polisi lakini Rappa JohMakini alikuwa naye pamoja nyakati za usiku akimtembelea na kuhakikisha hakati tamaa.