Lipuli FC yaijibu Simba

Baada ya Mwenyekiti wa kamati ya usajili ya klabu ya Simba Zacharia Hans Poppe kusema wametuma barua ya kutaka kumsajili beki wa Lipuli FC Asante Kwasi, timu hiyo kutoka Iringa imejibu kwa kuwakaribisha mezani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS