Arsenal kama kawaida, yachezea tena Klabu ya soka ya Arsenal imekubali kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa wapinzani wao wa jiji la London Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa ligi kuu nchini England uliomalizika jioni hii. Read more about Arsenal kama kawaida, yachezea tena