Magufuli awapa onyo viongozi wa Serikali Rais John Magufuli amewasilisha fomu ya tamko kuhusu rasilimali na madeni katika ofisi ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma iliyopo Mtaa wa Ohio wilayani Ilala jijini Dar es Salaam. Read more about Magufuli awapa onyo viongozi wa Serikali