Lady Jaydee aliamsha

Msanii wa muziki wa kizazi kipya ambaye ni mkongwe kwenye game na bado anafanya vizuri zaidi, au dada wa muziki wa bongo fleva Judith Wambura maarufu kama Lady Jaydee, leo anatarajia kuachia kazi mpya maalum ambayo ni zawadi kwa ampendaye.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS