Chanzo cha Shilole kuolewa kimya kimya

Msanii Zuwena Mohamed, maarufu kama Shilole amesema kilichomfanya afunge ndoa kimya kimya ni kutokana na ushauri alioupata  kutoka kwa Maustadhi kuwa siku ya ndoa ina mambo mengi na 'husda' nyingi, ndio maana alifunga ndoa kimya kimya. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS