Yanga yakanusha taarifa Mabingwa watetezi wa ligi kuu soka Tanzania Bara Yanga SC, wamesema wachezaji Oscar Mkomola na Pius Buswita ni wazima tofauti na taarifa zinazosambazwa kuwa wameumia na watakosa mchezo dhidi ya Azam FC. Read more about Yanga yakanusha taarifa