Kiongozi wa TFF ateuliwa

Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Africa (CAF)limemteua Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF Ahmed Mgoyi kuwa Kamishna wa mchezo wa Kombe la Shirikisho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS