Watoto kutumia Tablet kujifunza kusoma

Watoto takribani 2,400 waliokosa shule wamepata fursa ya kujifunza wenyewe kwa kutumia teknolojia ya kisasa inayotumia Tableti, ikiwa ni mradi wa majaribio wa miezi 15 ambao umezinduliwa mkoani Tanga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS