Bushoke akana kuhusu QChief

Msanii Bushoke ambaye aliwahi kufanya vizuri katika tasnia ya muziki wa Bongofleva katika kipindi cha nyuma amefunguka na kukana taarifa za yeye kugombana na Q-chief na kudai wanaweza kutofautiana lakini siyo kuzinguana kabisa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS