Waziri Jafo atoa wiki 6

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mh. Selemani Jafo amempa wiki sita Mkandarasi wa mradi wa maji wa Kivindo Wilayani Muheza mkoani Tanga, kuhakikisha anakamilisha mradi huo na uanze kutoa huduma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS