Anayemsumbua Mnyika kuhama chama, atajwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob amewataka wanachadema watulie kuhusu Mbunge wa Kibamba John Mnyika kwani yupo kwenye mikono salama na kwamba kiongozi huyo siyo wa kununulika kwa kuahidiwa vyeo. Read more about Anayemsumbua Mnyika kuhama chama, atajwa