Maxime atamani kuinoa Stars

Kocha mkuu wa Kagera Sugar, Mecky Maxime

Nahodha wa zamani wa Taifa Stars, na Kocha mkuu wa Kagera Sugar, Mecky Maxime amesema Stars inahitaji kocha ambaye ana uwezo wa kutambua wachezaji wenye vipaji, malengo na moyo wa kujituma ambao wataisaidia timu hiyo kusaka matokeo mazuri.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS