Mzee Akilimali azidi kumchana Niyonzima

Katibu wa Baraza la Wazee la Yanga, Ibrahim Akilimali.

Katibu wa Baraza la Wazee la Yanga, Ibrahim Akilimali amesema hawana wasiwasi wowote juu ya kuondoka kwa kiungo wao  Niyonzima kwa kuwa wapo wengi walishaondoka waliokuwa wazuri katika timu yao akiwamo Sunday Manara na timu iliendelea kufanya vizuri.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS