Operesheni vitabu kutinga mashuleni
Chama cha wachapishaji binafsi nchini Tanzania (PATA) kimeiomba Serikali kuviondoa mara moja shuleni vitabu vyote vilivyoandaliwa na kuchapishwa na Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) mara baada ya kubainika kutokidhi vigezo na kuwa na mapungufu.

