Siruhusu cover ya wimbo wangu iuzwe-Ditto

Msanii wa bongo fleva Lameck Ditto

Msanii wa muziki wa bongo fleva mwenye 'hit song ya Moyo sukuma damu' Lameck Ditto amesema yupo tayari kwa wimbo wake kufanyiwa marudio 'Cover' na msanii yoyote lakini siyo kwa lengo la kufanyabiashara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS